Ratiba ya Mazishi ya Benard Membe yatolewa

Mustafa Kambona ambaye ni Msemaji wa Familia ya marehemu Benard Membe ametangaza ratiba ya mazishi ya kiongozi huyo mstaafu


Kambona amesema mwili wa marehemu utaangwa Jumapili Mei 14, 2023 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar Es Salaam


Amesema baada ya kuuaga mwili wa marehemu utasafirishwa kwenda kijijini kwao mkoani Lindi kwa Maziko yanayotarajiwa kufanyika Jumanne Mei 16, 2023





JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo