ASKARI NA DEREVA ANAYEDAIWA KULEWA POMBE WAKUNJANA MOROGORO

                         Askari wa jeshi la polisi akimnasua dereva wa daladala aliye ng'ang'ania katika mshikio wa kioo cha kuangalia nyuma cha dereva katika eneo la kutokea magari ya stendi kuu ya daladala yaendayo nje ya Manispaa ya Morogoro baada ya dereva huyu kudaiwa kunywa pombe huku akitaka kuendesha gari la abiria Mjini-Kihonda jambo ambalo askari huyu baada ya kupata taarifa alipingana asiendeshe na kuchukua jukumu la kumpeleka kituo kikuu cha mkoa wa Morogoro.
Hapa akisaidiwa na askari wa ulasama barabarani.

Mambo naye aliongeza nguvu wakati wakimpeleka kituo kikuu cha polisi dereva huyo.

PICHA:JUMA MTANDA BLOG


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo