Waliochaguliwa CCM Waombwa walipe deni la Wajumbe

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Njombe mkoani Njombe wamewataka viongozi waliochaguliwa katika ngazi ya nafasi za wilaya na ujumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa watumie nyadhifa zao katika kulipa deni la wajumbe kwenda kuwatatulia kero mbalimbali kwenye jamii ili maendeleo yazidi kusonga mbele.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo