Taarifa isiyo rasmi Shabiki wa timu ya Simba mkoani Njombe alietoa kitaulo cha mlinda mlango wa timu ya Njombe Mji amekutwa amekufa nyumbani kwake mgenderwa leo huku sababu ya kifo hicho bado hakijafahamika.
Baada ya vurugu za kitaulo pale uwanjani Sabasaba juzi alikamatwa na polisi na kuachiwa jana.
Goli kipa wa Simba amepost kuonyesha kafariki, Tazma video hapo chini:_