Shabiki wa Simba aliyetoa taulo kwenye goli la njombe mji afariki dunia

BREAKING NEWS
Taarifa isiyo rasmi Shabiki wa timu ya Simba mkoani Njombe alietoa kitaulo cha mlinda mlango wa timu ya Njombe Mji amekutwa amekufa nyumbani kwake mgenderwa leo huku sababu ya kifo hicho bado hakijafahamika.
Baada ya vurugu za kitaulo pale uwanjani Sabasaba juzi alikamatwa na polisi na kuachiwa jana.
Goli kipa wa Simba amepost kuonyesha kafariki, Tazma video hapo chini:_


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo