Picha 20 za Kutisha Kutoka Kibiti walipouawa Askari polisi 8

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akiwa eneo la tukio walipouawa polisi nane Kibiti Mkuranga.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo akitoa maelezo kwa mkono kwa Mwigulu.
Mwigulu akushudia eneo la tukio, Kulia ni RPC wa Pwani, Onesmo Lyanga.
Eneo ambapo askari hao walifariki baada ya kuvamiwa na majambazi.
Askari aliyenusurika katika eneo la tukio, PC Fredirick.
Ndikilo akionyesha maficho ya Majambazi walipokuwa.
Moja ya askari akikagua eneo la maficho.
Muonekano wa gari la polisi baada ya majanga.
RPC wa Pwani, Onesmo Lyanga akiwa eneo la tukio.
RPC wa Pwani, Onesmo Lyanga akiongea jambo.
(PICHA: MWANDISHI WETU/GPL)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo