Lema: Mbinguni kuwakuta malaya,walevi,wazinzi wengi kuliko Viongozi wa dini

Kuna uwezakano mkubwa nafikiri ndivyo itakavyo kuwa Mbinguni kuwakuta malaya,walevi,wazinzi wengi kuliko Viongozi wa dini,matukio ya uhalifu wa kibinadamu ni mengi sana Nchini lakini viongozi wa dini wamekaa kimya kama vile Nchi ni salama,uzalendo wao umebaki kukemea viroba.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo