BREAKING NEWS : WASTARA AREJEA KATIKA HALI YAKE YA KAWAIDA


Kwa Mujibu wa Mwandishi wa habari hizi aliyeko moja kwa moja eneo la Msiba , NAHCEEB ABOUD, Mke wa Marehemu Sajuki amerejea Nyumbani toka Hospitali ambako alikuwa amepelekwa kwa ajili ya Huduma ya kwanza baada ya Presha Kushuka.

Ingawa bado hali yake sio nzuri kiasi kwamba hawezi kuongea wala kufanya Chochote, Wastara imebidi arudi nyumbani ili kuuaga mwili wa Marehemu mume wake Kipenzi, kwani yeye ni Mtu muhimu sana katika Hatua hizi za Mwisho.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo