Mkuu wa wilaya aagiza mratibu wa maabara akamatwe haraka

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara halmasharuri ya mji anayedaiwa kujaribu kuiba vifaa vya kupimia malaria, MRDT.

Mratibu huyo, Emanuel Masondole, anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Korogwe mji anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyohttp://www.mwananchi.co.tz/…/…/2973540/-/d6vld1/-/index.html


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo