Mahakama yawaachia huru wafuasi wa CHADEMA

Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imewafutia wafuasi watatu wa Chadema mashtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.

Waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka hayo ni Gregory Juma (29) mkazi wa Mkuyuni mkoani Mwanza, Ibrahimu Issa (20) mkazi wa mtaa wa Saranga wilayani humo na Lucas Andrea (30) mkazi wa Area “A” mkoani Dodoma http://www.mwananchi.co.tz/…/1597296/2973566/-/150xq2r/-/in…


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo