Kuelekea uchaguzi mkuu 2015, BBC na MTC wafanya kweli Mbeya

Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo
 Mwanahabari Gordon Kalulunga akichangia mada
 Mwanahabari Michael Katona akiwasilisha kazi waliyopewa kwa niaba ya kundi lake




 Mafunzo kwa vitendo yakiendelea
Waandishi wa habari wa kanda ya nyanda za juu Kusini wamepatiwa mafunzo ya nanma ya kuandika na kutangaza habari za uchaguzi ili waweze kutumia taaluma yao iifikie jamii

Semina hiyo inaendeshwa kwa pamoja na shirika la utangazaji la Uingereza BBC na baraza la habari Tanzania MTC


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo