Miss
World 2014, Rolene Strauss, leo amerejea kwao Johannesburg nchini
Afrika Kusini baada ya Jumapili iliyopita kushinda taji hilo jijini
London, Uingereza.
Mrembo
huyo amepokelewa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa O.R. Tambo
jijini humo na maelfu ya mashabiki waliotaka kumuona. Chini ni baadhi ya
picha za mapokezi yake.
MAPOKEZI YA MISS WORLD AFRIKA KUSINI NI BALAA, JIONEE PICHA HIZI
By
Edmo Online
at
Sunday, December 21, 2014