Taasisi ya IDYDC imeitaka serikali kuweka sera au sheria kali itakayowabana walevi.
Akizungumza muda huu katika ukumbi wa kanisa katoliki mjini Njombe,
Mkurugenzi wa taasisi hiyo Njombe, Johnnie Nkoma amesema Tanzania iko
katika hatari ya kuwa taifa la walevi.
Amedai kuwa hivi sasa Tanzania ina idadi kubwa ya walevi ambao wanafikia asilimia 92 ya Watanzania wote wafikao milioni 45.
