LUCY KOMBA AMUWEKA WAZI MPENZI WAKE WA KIZUNGU. TAZAMA PICHA ZAO HAPA WAKILA BATA DENMARK.

Lucy na mpenzi wake
Star wa filamu Swahiliwood Tanzania, Lucy Komba ameamua kumuweka wazi mpenzi wake ambaye wana muda sasa tangu wawe pamoja. Jamaa huyo ni raia wa Denmark ambaye ni msanii wa muziki na pia akiwa na kazi zake nyingine mbali na muziki. Swahiliworldplanet imefanikiwa kuzipata picha za Lucy na mpenzi wake huyo kama wanavyoonekana pichani.

Lucy yupo nchini Denmark kwa zaidi ya mwezi sasa huku filamu mpya ya Fundi Seremala aliyoigiza na Cloud, Kajala na Amanda [Poshy ikitarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni.
Lucy na mpenzi wake
CREDIT : SWAHILIPLANET


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo