TUKIO
hili la kusikitisha lilitokea jana majira ya saa kumi na moja jioni
katika Gest moja iitwayo TOP LIFE mkabala na shule ya Kiomboi Bomani
mkoani Singida.
Mwili wa marehemu ambaye alikuwa ni dereva wa Gari la Hospital ya wilaya ya Iramba, Jina limehifadhiwa.
Mwili ulikutwa ukiwa umevimba ukiwa nusu utupu na pensi tu, Nguo zingine hazikujulikana zilipo.
Aidha iligundulika kuwa Dereva huyo alifariki siku mbili nyuma maana alikuwa akitafutwa na waajiri wake wa kazi bila mafanikio.
Wahudumu wa Gest hiyo walidai kuwa mlango ulifungwa na kufuli kwa nje wakawa na matumaini kuwa marehemu angerudi.
UZEMBE
Mwili wa marehemu ambaye alikuwa ni dereva wa Gari la Hospital ya wilaya ya Iramba, Jina limehifadhiwa.
Mwili ulikutwa ukiwa umevimba ukiwa nusu utupu na pensi tu, Nguo zingine hazikujulikana zilipo.
Aidha iligundulika kuwa Dereva huyo alifariki siku mbili nyuma maana alikuwa akitafutwa na waajiri wake wa kazi bila mafanikio.
Wahudumu wa Gest hiyo walidai kuwa mlango ulifungwa na kufuli kwa nje wakawa na matumaini kuwa marehemu angerudi.
UZEMBE
Polisi walipodai daftari la wageni hawakuweza kuliona jina la marehemu, Kitu ambacho kilidhihirisha kuwa marehemu aliingia humo katika Gest hiyo kuchetua mda mchache tu (Shot Time) yani good time na sio kulala.
Imeripotiwa na David Mtengile Singida.

