SIRI IMEFICHUKA...AFA AJALINI SINGIDA AKIWA NA KIMADA, MKEWE ALIMUAGA ANAENDA SALIMIA NDUGU

Habari toka Mkoani  Singida zinasema watu 13 waliofariki dunia baada ya kutokea ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani humo kumbe mmoja wa watu waliofariki alikuwa ni mume wa mtu ambae alikuwa anakwenda kula bata na nyumba ndogo.
 

Habari zinasema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Noah na lori watu hao wakiwemo na kwa mujibu wa shuhuda wetu ambae alipiga simu kwenye ofisini na kueleza wawili hao walikuwa wanasaliti ndoa zao. "


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo