NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AWASILI OFISINI KWAKE RASMI


Pichani kati ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mh Jenista Mhagama akiwasili kwenye eneo lake la kazi huku akilakiwa na Wafanyakazi mbalimbali wa Wizara hiyo mara baada ya kuapishwa jana viwanja vya Ikulu jijini Dar
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mh Jenista Mhagama akikaribishwa Ofisini kwake na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Sifuni Mchome.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo