Afisa elimu huyo pia amesema
atawachukulia hatua wazazi ambao hawatafanya agizo hilo.
amesema kuwa kumewekwa
mipango madhubuti ya kukabiliana na wazazi wote ambao hawatawapeleka watoto wao
mashuleni ikiwemo kuongea na maafisa watendaji ili kuwapa idadi ya wazazi ambao
hawajawapeleka watoto mashuleni pamoja na kuwafikisha polisi.
Hata hivyo amewaomba
watendaji wa kata kupitia shule zilizopo katika kata zao ili kuhakikisha
wanafunzi waliofanikiwa kujiunga na kidato cha pili wamewasili mashuleni.