MSANII WA BONGOFLEVA TUNDA MAN AMTUNGIA WIMBO MGOMBEA URAIS TFF JAMAL MALINZI

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Tunda man, ameachia wimbo mpya unaowahamasisha watanzania na wadau kumpa nafasi ya Urais Jamal Malinzi, Tunda ambaye yeye mwenyewe anajua kusakata kabumbu, ameacghuia wimbo huwo maalum na kudai kwamba ni kwa maslahi ya soka la bongo. Producer wa wimbo huwo ni Manecky toka AM Record.Bofya hapo chini kusikiliza.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo