Baadhi
ya waendesha pikipiki Maarufu kama bodaboda wakiwa katika eneo la
Bandarini ampapo ajali imetokea baada ya gari aina ya Toyota Land
Cruiser kuigonga pikipiki.
Toyota Land Cruiser linalodaiwa kumgonga muendesha pikipiki aliyetambulika kwa jina moja la Huweso.
...Askari wa usalama wa barabarani akichukua maelezo katika eneo la tukio, alielala chini ni Huweso baada ya kupata ajali.
....Huweso akiwa amelazwa ndani ya gari tiyari kupelekwa Hospitalini.
CHANZO:GPL
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi