Jeshi la
Polisi Mkoani Njombe Linamshikilia Maulid Mwalugoya Mwenye Umri wa
Miaka 22 Mkazi wa Mtaa wa Matalawe Mjini Njombe Kwa Tuhuma za
Kusababisha Kifo cha William Mtokoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe ACP Fulgency Ngonyani Amesema Tukio Hilo Limetokea Oktoba 23 Majira ya Saa Nne Kasorobo Asubuhi Eneo la Mtaa wa CCM Mjini Njombe.
ACP Ngonyani Amesema Tukio Hilo Limetokana na Ugomvi wa Kugombea Chepe Kati ya Marehemu na Mtuhumiwa Wakati Wakifanya Kazi Ambapo Mtuhumiwa
Maulid Mwalugoya Alimkata Marehemu William Mtokoma Sehemu za Kichwani .Katika Tukio Lingine Kamanda Ngonyani Amesema Mtu Mmoja Ambaye
Hakufamika Jina Lake Anaekadiliwa Kuwa na Umri wa Miaka 28 wajinsia ya kiume Amekutwa Amefariki Huku Mikono Yake Ikiwa Imefungwa Kamba na Mwili Wake Kutupwa Ndani ya Mto Ruhuji.
ACP Ngonyani Amesema Mtu huyo Inasadikika Kuwa Ameuwawa na Watu Wasiofahamika na Kuongeza Kuwa Jeshi la Polisi mkoa wa Njombe Linaendelea na Uchunguzi Dhidi ya Matukio Hayo.
kwa Hisani ya Michaelngilangwablog
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe ACP Fulgency Ngonyani Amesema Tukio Hilo Limetokea Oktoba 23 Majira ya Saa Nne Kasorobo Asubuhi Eneo la Mtaa wa CCM Mjini Njombe.
ACP Ngonyani Amesema Tukio Hilo Limetokana na Ugomvi wa Kugombea Chepe Kati ya Marehemu na Mtuhumiwa Wakati Wakifanya Kazi Ambapo Mtuhumiwa
Maulid Mwalugoya Alimkata Marehemu William Mtokoma Sehemu za Kichwani .Katika Tukio Lingine Kamanda Ngonyani Amesema Mtu Mmoja Ambaye
Hakufamika Jina Lake Anaekadiliwa Kuwa na Umri wa Miaka 28 wajinsia ya kiume Amekutwa Amefariki Huku Mikono Yake Ikiwa Imefungwa Kamba na Mwili Wake Kutupwa Ndani ya Mto Ruhuji.
ACP Ngonyani Amesema Mtu huyo Inasadikika Kuwa Ameuwawa na Watu Wasiofahamika na Kuongeza Kuwa Jeshi la Polisi mkoa wa Njombe Linaendelea na Uchunguzi Dhidi ya Matukio Hayo.
kwa Hisani ya Michaelngilangwablog