SIKU YA UCHANGIAJI DAMU YAFANA MKOANI MARA

  Mwanahabari wa Channel 10 mkoani Mara Augustine Mgendi akipeana Mkono na Mkuu wa Mkoa wa Mara baada ya kupokea Cheti kwa niaba ya African Media Group (Channel ten) kutoka wizara ya Afya na ustawi wa Jamii katika Utoaji Bora wa huduma kwa jamii
Mwakilishi wa TBC Mara Emanuel Amas naye akiiwakilisha TBC


   Maandamano yalianza vyema
 Ukaguzi wa Mabanda ukiendelea
  Naibu Waziri wa afya Dr Seif akizinfua program ya ujumbe mfupi wa Maneno kwa mchangiaji damu kwa atakayekuwa anatumia tigo tu


      Wauguzi hawakuwa nyuma
                Viongozi mbalimbali wakiwa katika maadhimisho hayo
   Bw Joseph Mtalemwa -Menaja wa Tigo kanda ya Ziwa
 Naibu waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr Seif Rashid kushoto
 Jamaa kachangia damu mara 24 hivyo kapata cheti
Mmoja wa mashuhuda katika msaada wa damu Bw Bigambo Jeje(Picha zote na mwanawaafrika Augustine Mgendi)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo