PICHA JINSI MSANII MASELE ALIVYOPATA AJALI NA KUNUSURIKA KIFO

masele

Msanii Masele
1011776_478300138911845_155857635_n1005403_478299895578536_1677120218_n

1005571_478300762245116_1541121029_n
1010249_478362232238969_2036498556_n
181235_478297678912091_624038636_n
10577_478296855578840_1268073968_n
988491_478362075572318_231496031_n
1001059_478309448910914_659605718_n
1001647_478310002244192_821284754_n
http://bongomovietz.com/wp-content/uploads/2013/06/1006126_478310208910838_757102021_n.jpg
1014252_478299582245234_288903565_n
Picha zikionesha jinsi Masele alivyopata ajali huko barabara ya 14 Tanga, inasadikika kuwa msanii huyo alimgonga mtu akiwa kwenye harakati za kuegesha gari na ndipo wananchi wakamvamia kwa lengo la kumpiga, lakini aliwasha gari na kuanza kukimbia ili kuokoa maisha yake lakini inaaminika pia wakati akikimbia alimgonga tena mtu mwingine na ndipo wananchi walipoamua kulishambulia gari lake na yeye pia ila Masele hajafariki, ni mzima. Taarifa zaidi tutazidi kuwapatia(Pichs kwa hisani ya swahilitanzania)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo