UTABIRI WA HALI YEWA APRIL 03,2013

WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 03/04/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:

Hali ya mawingu kiasi , mvua na  ngurumo  katika  maeneo  machache na vipindi  vya jua.
[Mikoa ya Dar es Salaam,Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
 [Mikoa ya Rukwa ,Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya Morogoro, Lindi na Mtwara]:

Hali ya mawingu kiasi na mvua  katika  maeneo  machache na vipindi  vya jua.

[Mkoa wa Ruvuma]:

Hali ya mawingu kiasi  na vipindi vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
22°C               
12:44
D'SALAAM
32°C           
12:33
DODOMA
27°C
12:47
KIGOMA           
28°C
01:11
MBEYA
23°C
12:56
MWANZA
25°C
12:58
TABORA
26°C
12:59
TANGA
33°C
12:34
ZANZIBAR
31°C           
12:33
PEMBA
                     30°C
12:29
MOROGORO
27°C
12:35
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa  kasi ya km 20 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani ya  
                                                    Kusini na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini. 

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo madogo

Matazamio kwa usiku wa leo Jumatano: 03/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 03/04/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo