WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA NA WAKINAMAMA WANAOTIBIWA CCBRT WALIVYOSHEREHEKEA SIKUKUU YA WAPENDANAO

Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Bw. Geoffrey Wilfred, akiwagawia chakula baadhi ya wanawake wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali ya CCBRT jijini, Wafanyakazi wa kitengo cha masoko wa kampuni hiyo   wamefanya sherehe za maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao 'Valentine’s day' na wakina mama hao, kupitia kampeni ya pamoja na Vodacom.
Elihuruma Ngowi,…
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Bw. Geoffrey Wilfred, akiwagawia chakula baadhi ya wanawake wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali ya CCBRT jijini, Wafanyakazi wa kitengo cha masoko wa kampuni hiyo   wamefanya sherehe za maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao 'Valentine’s day' na wakina mama hao, kupitia kampeni ya pamoja na Vodacom.
Elihuruma Ngowi, akimpatia kinywaji baridi mmoja wa kinamama anaetibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali ya CCBRT jijini, Wafanyakazi wa kitengo cha masoko wa kampuni hiyo  wametoa misaada na kusherehekea  maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao”Valentine’s day na wakina mama hao,kupitia kampeni ya pamoja na Vodacom.
Frank Bomani ambae ni mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, akimpatia pipi mmoja wa watoto waliopo na wazazi wao wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali ya  CCBRT jijini,mara wafanyakazi wa kitengo cha masoko wa kampuni hiyo  lipofika kutoa misaada mbalimbali na kusherehekea  maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao 'Valentine’s day' na wakina mama hao, kupitia kampeni ya pamoja na Vodacom.
Meneja wa uhusiano wa nje wa Vodacom Tanzania Bw.Salum Mwalim, akiwamiminia kinywaji baridi baadhi ya  kinamama wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali ya CCBRT jijini, Wafanyakazi wa kitengo cha masoko wa kampuni hiyo  wametoa misaada na kusherehekea  maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao 'Valentine’s day' na wakina mama hao, kupitia kampeni ya pamoja na Vodacom.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital ya CCBRT Bw.Erwin Telemans akiongea na waandishi wa habari wakati wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,walipofika hospitalini hapo kutoa misaada mbalimbali na kusherehekea  maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao 'Valentine’s day' na wakinamama wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali hiyo,kupitia kampeni ya pamoja na Vodacom.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania waliofika katika hospital ya CCBRT kwa ajili ya kutoa misaada mbalimbali na kusherehekea  maadhimisho ya  uzinduzi wa Kampeni ya Moyo sanjari na kusherehekea sikukuu ya wapendanao 'Valentine’s day' na wakinamama wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika Hospitali hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo