| Waombolezaji
wakiwa wamebeba mwili wa marehemu, Abdulrahman Ghasia, Baba Mzazi wa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na serikali za
Mitaa, Hawa Ghasia katika mazishi yaliyofanyika kijijini kwa marehemu,
Naumbu, Mtwara Vijijini, Februari 14,2013. (Picha naOfisi ya Waziri
Mkuu) |