BREAKING NEWS: POLISI WAPAMBANA NA WAUMINI WA KIISLAM WALIOANDAMANA HII LEO

Polisi jijini Dar Es Salaam imepambana na baadhi ya watu wanaodaiwa ni waumini wa dini ya Kiislam walioamua kuandamana katika maeneo ya Kariakoo.

Licha ya kupigwa marufuku kwa maandamano hayo na jeshi la Polisi wamedai kuwa lengo la maandamano hayo ni kushinikiza kupewa dhamana kwa Sheikh Issa Ponda.
Zaidi tembelea mtandao huu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo