Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama
MADIWANI wa chadema katika manspaa ya Moshi wamelalamikia kitendo cha mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama kuzuia safari yao ya kwenda Kigali nchini Rwanda.
Hata hivyo baadhi ya madiwani hao wamemtaka mkuu wa mkoa kufanya
shughuli zake na kuacha kuingilia mambo ya siasa kwani siyo
yaliyomleta katika mkoa huu wa Kilimanjaro
Mmoja wa madiwani hao Hawa Mushi alisema kuwa kitendo kilichofanyika
ni kama kukandamizwa kwa madiwani hao na kuwa mapato ya ndani
yameongezeka hivyo kulikuwa hakuna sababu ya kuwazuia.
“Mkuu wa mkoa ajue pale tungetumia shilingi milioni 123 tu na tulikuwa
tumekubalianatupewe posho siku tattu tu na siku nne tusipewe hivyo
ndivyo ilivyokuwa’alisema Hawa
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama alipinga kuwapo kwa safari
ya madiwani wa Manispaa ya Moshi ya kwenda katika Jiji la Kigali
nchini Rwanda kwa madai kuwa bajeti iliyotengwa ya shilingi milioni
123 ni kubwa.
Gama alitoa uamuzi huo wakati akizungumza kwenye kikao cha kamati
ya ulinzi na usalama wa mkoa, ambacho pia kilijumuisha madiwani pamoja
na baadhi ya wakuu wa Idara wa Manispaa ya Moshi, ambapo alibainisha
kuwa safari hiyo haina tija endapo watatumia kiasi kikubwa cha fedha
hizo.
Hata hivyo ieleke kuwa moja ya ajenda waliyokuwa wanaenda kujifunz ani
namana ya kutunza mji na kuufanya kuwa safi wakati huo huo madiwani
hao ndio waliochangia mji wa Moshi kuwa mchafu.
Madiwani hao walibadilisha sheria ya kutunza mazingira ya kulipa
faini ya shilingi elfu hamsini ikiwa mtu atachafua mazingira hadi
kufika kiasi cha shilingi elfu kumi kwa lengo la kuwasaidia wananchi
Hata hivyo baadhi ya madiwani hao wamemtaka mkuu wa mkoa kufanya
shughuli zake na kuacha kuingilia mambo ya siasa kwani siyo
yaliyomleta katika mkoa huu wa Kilimanjaro
Mmoja wa madiwani hao Hawa Mushi alisema kuwa kitendo kilichofanyika
ni kama kukandamizwa kwa madiwani hao na kuwa mapato ya ndani
yameongezeka hivyo kulikuwa hakuna sababu ya kuwazuia.
“Mkuu wa mkoa ajue pale tungetumia shilingi milioni 123 tu na tulikuwa
tumekubalianatupewe posho siku tattu tu na siku nne tusipewe hivyo
ndivyo ilivyokuwa’alisema Hawa
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama alipinga kuwapo kwa safari
ya madiwani wa Manispaa ya Moshi ya kwenda katika Jiji la Kigali
nchini Rwanda kwa madai kuwa bajeti iliyotengwa ya shilingi milioni
123 ni kubwa.
Gama alitoa uamuzi huo wakati akizungumza kwenye kikao cha kamati
ya ulinzi na usalama wa mkoa, ambacho pia kilijumuisha madiwani pamoja
na baadhi ya wakuu wa Idara wa Manispaa ya Moshi, ambapo alibainisha
kuwa safari hiyo haina tija endapo watatumia kiasi kikubwa cha fedha
hizo.
Hata hivyo ieleke kuwa moja ya ajenda waliyokuwa wanaenda kujifunz ani
namana ya kutunza mji na kuufanya kuwa safi wakati huo huo madiwani
hao ndio waliochangia mji wa Moshi kuwa mchafu.
Madiwani hao walibadilisha sheria ya kutunza mazingira ya kulipa
faini ya shilingi elfu hamsini ikiwa mtu atachafua mazingira hadi
kufika kiasi cha shilingi elfu kumi kwa lengo la kuwasaidia wananchi
