Diwani Aliyepotea na Kupatikana Kwa Ashura Tabata Apotea Tena

Yule Diwani aliyepotea kwa Miezi mitatu na kupatikana kwenye nyumba ya mwanamke aliyejulikana kwa jina la Ashura Ally Matitu, mkazi wa Tabata darajani, Diwani Rwakatare wa kata ya Kawe mkoani Dar Es Salaam amepotea tena kwa Mujibu wa Gazeti la Tanganyika.


Taarifa hiyo imeeleza kuwa ndugu wamekiri kumtafuta Kwa Ashura Tabata, hayupo.




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo