Mwanafunzi wa kidato cha pili auawa, mwili watupwa kwenye shamaba la mpunga

Polisi katika kaunti ya Kisumu nchini Kenya wameanza uchunguzi wa mauaji ya msichana wa miaka 18 ambaye mwili wake ulipatikana katika shamba la mpunga.


Kituo cha Citizen TV kimesema kulingana na familia, msichana huyo Wendy Abura aliondoka nyumbani kwao Jumatatu usiku ili kupokea simu, lakini hakurejea.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo