Muda Mchache baada ya Kuapishwa, Waziri Kairuki aanza Kazi



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za MItaa (TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki ameripoti na kupokelewa na Viongozi mbalimbali katika Ofisi ndogo ya Wizara hiyo iliyopo Magogoni Jijini Dar es Salaam baada ya kuapishwa Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 3,2022.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo