Kauli ya Rais Samia Kuhusu wanaokiuka Viapo Vyao


Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya viongozi wanaoapa kuitumikia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya kukiuka viapo vyao wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao.


Rais Samia ametoa onyo hilo alipokuwa akiwaapisha mawaziri wapya watatu, Innocent Bashungwa (Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa), Dkt. Stergomena Tax (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Angella Kairuki (TAMISEMI).


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo