Mbunge adai "Wivu wa kiongozi kwa mfanyakazi ni ishara ya tatizo la afya ya akili"

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mh. Jesca Msambatavangu ameelezea tatizo la wivu wa kiongozi wa sehemu ya kazi kupinga mafanikio ya mfanyakazi anayemwongoza kuwa ni mojawapo ya viashiria vya tatizo la Afya ya Akili.

Mh. Jesca Msambatavangu amesema kiongozi asiye na maarifa ya kutosha huona wivu kwa wafanyakazi anaowaongoza badala ya kuwatumia kufikia malengo aliyowekewa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo