Hospitali ya Mirembe yazidiwa idadi ya Wagonjwa

Hospitali ya Taifa ya Afya Akili Mirembe imekiri kuzidiwa na idadi ya wagonjwa ikilinganishwa na watoa huduma waliopo kwani imekuwa ikipokea wastani wa wagonjwa 70 wa Nje (OPD) kwa siku wa afya ya akili huku ikiwa na madaktari bingwa 4 wa huduma hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo