Bwawa laua watu 27

Watu takribani 27 wamefariki dunia huku maelfu ya watu wakikosa makazi baada ya bwawa kubwa lililoko mjini Nakuru nchini Kenya kuvunja kuta zake siku ya Jumatano usiku.
Juhudi za ukoaji zinaendelea kufanywa na maafisa wa msalaba mwekundu wakisaidiana na vijana wa huduma za kitaifa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo