Diwani aliyejiuzulu autamani tena udiwani wake


Aliyekuwa diwani wa Kata ya Isapulano kupitia CHADEMA Mh Alphonce Mbilinyi ambaye hapo jana alihamia CCM amesema bado anataani kuwa diwani wa kata hiyo

Akizungumza katika mahojiano na Mwandishi wetu diwani huyo amesema wnanchi wake wanafahamu alikowatoa kimaendeleo hivyo bado anapenda kuwa diwani na anatarajia watakutana miezi michache ijayo endapo atapewa ridhaa na chama chake

Tazama Video hii hapa Chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo