Diwani mwingine wa CHADEMA Arusha ahamia CCM Leo

Aliyekuwa diwani wa Kata ya Soitisambu wilayani Ngorongoro mkoania Arusha (Chadema) Boniface Kanjueli amejiuzulu nafasi ya udiwani na kuhami CCM kwa madai ya kupendezwa na utendaji wa rais Magufuli.

Diwani huyu anajiuzulu ikiwa ni siku chache kupita tangu madiwani watatu wa Chadema kujiengua na kuhamia CCM ambao ni Diwani wa Kata ya Ngorongoro, Daniel Orkeriy, Mwenyekiti wa Vijana wa Chadema Wilaya hiyo na pia Diwani wa Kata ya Ngoile, Lazaro Saitoti na Diwani wa Kata ya Loitole, Sokoine Moiv kwa madai ya kuunga mkono utendaji wa rais Magufuli.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo