Waziri wa elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof Joyce Ndalichako amewataka wakala wa Majengo Nchini TBA wanaojenga nyumba nne za walichu Chuo cha VETA Makete kuacha kujenga nyumba za kifisadi
Ameyasema hayo akiwa chuoni hapo kujionea ujenzi huo unavyoendelea na kushangazwa na taarifa inayosema kuwa nyumba moja itajengwa kwa zaidi ya shilingi milioni 160
Mtazame kwa kubonyeza play hapo chini:-