Waziri wa CCM aliyehamia CHADEMA Arudi tena CCM

Aliyewahi kuwa Mbunge na Naibu Waziri baadaye kuhamia CHADEMA kabla ya kutimkia UDP, Dkt.Goodluck Ole Medeye arudi CCM

Mwaka 2015 Ole Medeye alihamia CHADEMA na baadaye akagombea U spika wa bunge na kushindwa na Job Ndugai


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo