Kandoro ataadharisha mishara hewa

Na Kenneth Ngelesi, Mbeya

MKUU wa Mkoa wa Mbeya Abasi Kandoro ameawagiza wakuu wote wa idara katika halmashauri za wilaya kuakiki majina ya watumisaha kabla ya kupeleka kwa wahasibu  ili kuokoa mamilioni  ya fedha yanayo tokana udanganyifu wa malipo hewa ya mishara.

Wito huo ulitolewa jana kwa wakuu wa idara katika kikao maalumu cha baraza la madiwani wa jiji la Mbeya kilicho keti juzi katika ukumbi wa mikutano wa Mkapa kwa ajili yha kupitia taarifa ya mkaguzi wa hesabu za serikali.

Mkuu hyo wa Mkoa alisema kuwa kabla ya kufanya malipo kwa watumishi wa halmashauri ni vema wakuu wa idara wakaji ridhishisha wa na kujua ni watumishi wanagpi wano pashwa kulipwa ili kuepuka utanaganyifu kama uliyo fanywa na Mhasibu mwandamizi  wa jiji la Mbeya Sara Kibona amabaye hivi karibuni amefukuzwa na  baraza a la madiwani  kwa kuso na kutafuna zaidi ya mil 35  mishahara hewa.

Alisema katika halmshauri zaidi ya tatu alizo pita tatizo la miushara hewa amnekuwa akikumbana nalo na kuagioza zioezi la kuahihiki majina ya watumishi lianze kufanyika  kabla ya miezi miliwi na kwamba baada ya miezi milwili atalazimika kupitia ilikujirdhsiha kama wakuu hao wa idara wameanza kutekeleza agizo hilo.

Kandoro alisem kuwa mkuu wa idara yeyote atakaye bainika na kupitisha jina la mtumishi ambaye hakupswwa kulipwa kwa taitizo la kifo  serikari haitasita kumchulia hatua ikiwa ni pamoja kulipa fedha  ziatakazo kuwa zimepotea kawa uzembe wake.

Aidha katika hatua nyinginev Mkuu huyo wa Mkoa aliionya idara ya ardhi ya  jiji Mbeya kwa  kusababisha migogo isio kuwa ya  lazima kwa kuuza vianja zaidi ya mara Mbili.
Alisema moja ya kesi zinapelerkwa katika ofisi yake nyingi zinatoka katika idara ya ardhi na hilo limekuwa likiusbabishwa na maafisa kutoka idra hiyo.

Mkuu huyto wa mkoa amekuwa na ziara katika halmashauri zote za mkoa wa Mbeya kwa ajili kupitia taarifa ya Mkaguzi wa hesabui za serikari am,abpo hadi sasa ameshapitia wilaya nne ambazo ni Kyela, Rungwe,Mbrali, Jiji na Mbeya Vijijni na kubaini taztizo hilo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo