Ngoma ya wanafunzi ikichezwa
Wahitimu 6 wa darasa la 7 mwaka huu
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo akitoa taarifa fupi kuhusu ufaulu wa wanafunzi hao
Ngoma zikipigwa
Mhitimu akipokea cheti chake
Wahitimu hao baada ya kupokea vyeti vyao
Mweyekiti wa Kijiji Yosophat Idawa akikiri kupokea wahitimu hao mara baada ya kukabidhiwa na mwalimu Mkuu
Mengi Chalamila Afisa mtendaji wa kata ya Mang'oto akizungumza kwenye mahafali hayo
Mgeni Rasmi Diwani wa Kata ya Mang'oto Mh. Osmund Idawa akihutubia katika mahafali hayo

















