Live Rais Magufuli: IGP Siro kwa Ujambazi Safi lakini Uzembe huu Bado

Rais John Magufuli amempongeza IGP Simon Sirro kwa kupambana na ujambazi na kuwa amefanya vizuri katika hilo lakini bado kwenye suala la watendaji wake wazembe hajafanya vizuri

Rais Magufuli ameyasema hayo leo bandarini jijini DSM wakati akizungumza alipofanya ziara ya kushtukiza na kuangalia magari ya polisi yaliyoingizwa bandarini hapo na kukaa muda mrefu bila kukabidhiwa jeshi la polisi

Amemtaka IGP Sirro kushughulikia uozo kama huo kwa kuwa unamuangusha katika utendaji wake wa kazi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo