Rais Magufuli ahuzunishwa na Magari ya Polisi Kukaa Bandarini Miaka 2

Rais Dkt John Magufuli amesema magari ya polisi yaliyopo baharini kwa nini yakae miaka zaidi ya miwili bandarani 

Amesema huo ni uozo unaoendelea bandarini lakini ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama hasa kuchunguza kuna nini mpaka magari hayo yakae bandarini hapo kwa muda mrefu, magari ambayo yamenunuliwa kwa fedha za walipakodi waananchi masikini

Amewataka mawaziri hasa wa fedha na mipango, waziri wa mambo ya ndani, na waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano wawe na mawasiliano na hapendi suala hilo lijitokeze tena kwa mara nyingine


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo