Kijana wa miaka 23 auawa na mpenzi wake, wanakijiji walipiza kwa kumchoma moto binti hadi kifo

Huzuni imetanda kaunti ya Murang’a katika kijiji cha Kangema baada ya mvulana wa umri wa miaka 23 kuuliwa na mpenziwe kwa kuchomwa kisu na mpenzi wake mwenye umri wa miaka 19. 

Inasemekana wawili hao walikuwa na mzozo kuhusu simu ambao kijana huyo alimuuzia simu mpenzi wake na alibakisha deni la Kshs. 200 na alipoenda kudai fedha hizo ndipo ugomvi ukaibuka uliosababisha mwanamke huyuo kupandwa na mori na kumchoma visu

Wakazi wa Kangema walimkamata msichana huyo na kumpa kichapo cha mbwa kisha kumchoma moto

OCPD wa eneo hilo alithibitishatukio hilo na kuwaasa watu kutochukulia sheria mkononi

Miili ya watu hao imepelekwa katika hifadhi ya maiti ya Murang'a



Chanzo: Citizen Tv


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo