Polepole: Tuhuma za Nyalandu kwa CCM si za kweli

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Humphrey Polepole amesema ni haki ya mwanachama yeyote wa CCM kuondoka kwenye chama hicho

Polepole amesema tuhuma alizozitoa Lazaro Nyalandu dhidi ya CCM hii leo wakati anakihama chama hicho si za kweli

Sikiliza video hii hapa chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo