Nape: Sijaita waandishi wa habari Kesho

Mbunge wa Mtama kupitia CCM Nape Nnauye amekanusha taarifa zinazozidi kuenea kuwa atakuwa na mkutano na waandishi wa habari kesho

Katika Ukurasa wake wa twitter Nape amesema suala hilo halina ukweli na wananchi wapuuzea habari hito

Angalia hiki hapa chini alichokiandika


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo