Hatari, Moto mkubwa unaunguza Miti Lupalilo Makete (Sikiliza Sauti hii)

Moto ambao mpaka sasa haujajulikana chanzo chake umeteketeza mashamba ya miti katika Kijiji cha Lupalilo wilayani Makete mkoani Njombe
Tukio hilo la moto limeripotiwa kutokea leo majira ya saa sita mchana na mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana huku jitihada za kuuzima moto huo zikiendelea
Tukio hilo ni muendelezo wa matukio ya moto yanayoendelea kutokea wilayani Makete siku chache zilizopita ambapo katika kata ya Mbalatse mbali na moto huo kuunguza mashamba ya miti pia ziliungua nyumba za wananchi
Katika Line ya simu tumezungumza moja kwa moja na Kaimu Afisa mtendaji wa kijiji Cha Lupalilo ambaye anaelezea hali ilivyo, msikilize hapo chini kwa kubonyeza play:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo