skip to main |
skip to sidebar
Taifa Stars yawasili Misri (Picha)
Timu ya Mpira wa Miguu ya Tanzania – Taifa Stars imewasili salama Tolip Sport City, Alexandria nchini Misri tayari kabisa kuanza kambi ya wiki moja kujiandaa kucheza na Lesotho katika mchezo wa Kundi L kuwania kucheza fainali za AFCON.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi