Ukame waua Mifugo 16,000 Mvomero Morogoro

Image result for ng'ombe wafa ukame
Zaidi ya ng’ombe 16,000 wamekufa wilayani Mvomero mkoani Morogoro kutokana na ukame unaoyakabili maeneo mbalimbali hapa nchini.

Katibu wa chama cha wafugaji mkoa wa Morogoro, Kochocho Mgema amewaambia waandishi wa habari kuwa ng’ombe hao wamekufa kutokana na kukosa maji na malisho.

Katibu tawala mkoa wa Morogoro, JOHN NDUNGURU amekiri kuwepo kwa tukio hilo na kutoa wito kwa wafugaji kupunguza mifugo yao kama walivyoagizwa na serikali kulingana na maeneo yao ya malisho.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo