Wanafunzi wawili wa shule ya Msingi wafukiwa na Kifusi Ruvuma


Image result for kifusi kuporomokaWanafunzi wawili wa shule ya msingi MAKWAYA wilaya ya SONGEA mkoani RUVUMA wamekufa baada ya kufukiwa na udongo katika ukingo wa mto RUVUMA, 



 Kaimu Kamanda wa polisi, wa mkoa wa RUVUMA, DISMAS KISUSI amewataja watoto hao kuwa ni BENJAMIN NDUNGURU mwanafunzi wa darasa la nne na FREDY MATEMBO mwanafunzi wa dasara la kwanza.



KISUSI amesema wanafunzi hao wamepotea tangu Januari sita mwaka huu na miili yao kupatikana Januari nane mwaka huu kufuatia taarifa zilizotolewa na watoto waliokuwa wakiokota maembe kuona miguu imefukiwa na kifusi cha udongo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo