Mchezaji aliyefia Uwanjani ailiza Serikali...Yatoa Kauli kuhusu Kifo Hicho

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, Jumatatu hii ametoa salamu za rambirambi kwa wanafamilia Wa Ismail Khalfan mchezaji wa Mbao FC chini ya umri wa miaka 20, ambaye alipoteza maisha katika mchezo wa mwisho wa round ya 7 kundi A kituo cha Kaitaba, Bukoba.
mchezaji
Ismail Khalfan ambaye alikuwa anavaa jezi namba 4 katika mashindano hayo, ndiye aliyefunga goli la kwanza la Mbao FC dhidi ya Mwadui FC katika ushindi wa magoli 2-0.
Hii ni taarifa kutoka wizara ya habari na michezo:
nape


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo